Mkutano wa Jumuia ya
Madola (Commonwealth) Arusha
01/10/2009

Picha ya Pamoja ya Kamati tendaji ya CPA
(Commonwealth Parliamentary Association) pamoja na Rais wa Chama hicho
Samweli Sitta (pia ni spika wa bunge la Tanzania) wakiwa katika picha ya
pamoja na katibu wa Chama cha Mabunge ya jumuiya ya madola Dk. William
Shija (wa kwanza kushoto waliosimama). Kamati hiyo inahudhuria mkutano
unaoendelea mjini Arusha.

Rais wa Chama cha Mabunge ya jumuiya Ya
Madola Samwel Sitta (kulia) akibadilishana mawazo na Spika wa Bunge la
India Meira Kumar (kushoto) wakati wa mkutano wa 55 wa CPA unaoendelea
mjini Arusha. Wengine ni wajumbe wa mkutano huo kutoka India (katikati).
|