Ujenzi wa barabara ya
Mgagadu - Pemba
02/10/2009

Rais wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume,
akitoa ushauri kwa mkandarasi wa idara ya ujenzi wa barabara, Wizara ya
Mawasiliano na Uchukuzi, Khamis Masoud (kulia) wakati alipokwenda kuona
maendeleo ya ujenzi wa barabara ya Mgagadu, Kiwani, Kusini Pemba.
Katikati ni Waziri wa Mawasiliano na Uchukuzi, Machano Otman Said.
|