Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Arusha na Mazingira

03/10/2009

Mfanyabiashara wa mifagio akipitisha kwa wateja wake katika mitaa ya jiji la Arusha, jiji ambalo linajitahidi kuweka na kuzingatia usafi wa mazingira wa jiji. Mazingira hayo ikiwamo usafi wa barabara za jiji na paking za magari. Ukipaki gari yako bila ya msimamo maalum, hapo hapo unalipa faini 30,000/= ukipelekwa kituoni unalipishwa faini ya 50,000/=.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©