Kujiandikisha kwa kupiga
kura
05/10/2009

Rais
Kikwete akijiandikisha katika daftari la kudumu la wapiga kura kwa ajili
ya uchaguzi wa viongozi wa ngazi ya mtaa katika kituo cha Shule ya
Msingi Bunge, kilichopo jijini Dar es Salaam. Wengine katika picha
kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
Mh. Aggrey Mwanri, Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mh. William Lukuvi,
Meya wa Jiji la Dar es Salaam Alhaj Adam Kimbisa na Karani wa kituo
hicho.
|