Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Dk. Shein ajiandikisha kupiga kura

09/10/2009

Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein, akijiandikisha kwenye Daftari la wapiga kura kwa ajili ya uchaguzi wa Viongozi wa Serikali za Mitaa katika kituo 'A' kilichopo Shule ya Msingi Oysterbay, Dar es Salaam. Kulia ni Msimamizi wa kituo hicho, Amina Shilla, katikati Mkewe, Mwanamwema Shein.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©