Usumbufu wa uegeshaji
magari (Parking) umezidi
12/10/2009

TATIZO la uegeshaji magari umezidi jijini
Dar es Salaam ambalo tatizo hilo na tatizo la wingi wa magari jijini
limeishinda kasi ya maendeleo ya kiuchumi ya nchi ikiwa kama Dar es
Salaam ndio kitovu cha biashara cha kimataifa. Kila kukicha nchi yetu
inaendelea kwa kasi kubwa na hali ya miundo mbinu ya usafiri
kulinganisha na ukuaji wa maendeleo ya nchi kiuchumi haulingani; na
popote pale palipo na nafasi tupu wenye usafiri inawabidi waegeshe
magari yao ili waendelee na kujenga nchi.
Pichani juu ni sehemu Azania Front
Cathedral ambayo ipo maeneo ya posta mjini Dar es Salaam ikionekana
ikiwa imezungukwa na magari. (Picha na Muhidin Issa Michuzi)
|