Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kikwete aapisha Maafisa wapya

19/10/2009

Rais Kikwete akiwa na Makamu wa Rais Dk. Ali Mohamed Shein na Waziri Mkuu Mh. Mizengo Pinda wakipozi na maafisa waandamizi aliowaapisha Ikulu jijini Dar es Salaam ambao wako nyuma yao. Toka shoto ni Sethi Kamuhanda (Katibu Mkuu, Wizara ya Habari, Utamaduni na Michezo), Christopher Sayi (Katibu Mkuu, Wizara ya Maji na Umwagiliaji), David Kitundu Jairo (Katibu Mkuu, Wizara ya Nishati na Madini), Jaji Frederick M. Werema (Mwanasheria Mkuu wa Serikali), Prosper Mbena (Katibu wa Rais), Mbarak M. Abdulwakil (Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi), George Masaju kuwa Naibu Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye kasimama nyuma kabisa. Nyuma Kulia ni Mh. Peniel Lyimo.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©