Msikiti wa Mkwajuni
kujengwa upya
23/10/2009

MSIKITI wa zamani wa Mkwajuni, Kinondoni,
Dar es Salaam, kama unavyoonekana pichani umebomolewa na upo njiani
kupisha msikiti mpya kutokana na wadhamini wa msikiti huo. Inasemekana
kwama msikiti mpya utakuwa ni wa kisasa na wenye ghorofa si chini ya
ghorofa tatu kwenda juu.

Hii ni sehemu ya msikiti wa zamani.
Mwenyezi Mungu aujaalie usimame salama, Inshallah.
|