Jasper Makame apita kwenye
kura za mitaa
25/10/2009

JK akimpongeza Mwenyekiti
wa Mtaa wa Kivukoni Bwana Jasper John Makame baada ya kupita bila
kupingwa katika uchaguzi wa wenyeviti wa mitaa na wajumbe wa mitaa. Rais
JK na Mama Salma kikwete walijumuika na wakazi wengine wa kivukoni
kusikiliza ushindi huo uliotangazwa katika shule ya Msingi Bunge jijini
Dar es Salaam.

Rais na Mama Salma Kikwete
wakijumuika na wakazi wenzao wa mtaa wa Kivukoni kwenye kituo cha
kupigia kura cha Shule ya Msingi Bunge.
|