Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Umeme wa IPTL kuanza kazi yake

26/10/2009

Waziri wa Nishati na Madini Wiliam Ngeleja, akiwa na Kaimu meneja mwendeshaji wa Kampuni ya WARTSILA Gilbert Ndesamburo (kulia) alipotembelea mitambo ya kuzalisha umeme ya IPTL Tegeta jijini Dar es Salaam. Mtambo huo unatarajiwa kuanza kuzalisha umeme mwezi Novemba mosi mwaka 2009 kwenda gridi ya taifa na kupungua kiasi kikubwa cha mgao wa umeme unaoendelea nchini.

Mafundi wa Kampuni ya Wartsila inayounganisha mitambo ya kuzalisha umeme kwa gesi ya Songas wakiwa katika hatua za mwisho za kuunganisha waya za umeme wa Megawati 45 utakao zalishwa hapo katika gridi ya taifa. Mafundi hao wamekutwa wakiwa kazini wakati Waziri wa Nishati na Madini, William Ngeleja alipotembelea eneo hilo lililoko Tegeta, Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©