Karume arejea kutoka
Ufaransa
27/10/2009

Rais Karume akisalimiana na viongozi wa
kijeshi Zanzibar na wa Serikali ya Zanzibar waliofika kumpokea uwanja wa
ndege, mara baada
ya kuteremka ndege ya British Airways jijini Dar mchana huu wakitokea
nchini Ufaransa katika mkutano wa 35 wa Unesco, ambao ulitilia mkazo
zaidi masuala ya kukuzwa kwa Elimu nchini.

Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi,Dk Amani Abeid Karume na mai waifu
wake Mama Shadya Karume, mara baada ya kuteremka ndege ya British
Airways jijini Dar mchana huu wakitokea nchini Ufaransa katika mkutano
wa 35 wa Unesco, ambao ulitilia mkazo zaidi masuala ya kukuzwa kwa Elimu
nchini.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Serikali
ya Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume akizungumza na waandishi wa habari
baada ya kuwasili kutoka nchini Paris, Ufaransa katika mkutano wa 35 wa
Unesco.
|