Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Ujenzi wa barabara wapata msaada kutoka Abu Dhabi

29/10/2009

Balozi wa Tanzania nchini UAE, Mhe. Mohamed Maharage Juma (kulia) akiwa na muwakilishi wa Mwendeshaji wa Utendaji kazi wa mfuko wa usaidizi wa Abu Dhabi (Abu Dhabi Fund) bwana Mohamed Saif Al Suwaidi, katika kuwafiki makubaliano ya kipesa ya ujenzi wa barabara baadhi ya sehemu za nchini Tanzania.

Makubaliano hayo yalifanyika katika makao makuu ya Abu Dhabi Fund iliyopo mjini Abu Dhabi, UAE, ambayo yanatarajiwa kuendesha ujenzi wa barabara ya Kidahwe-Uvinza, ambayo ina umbaliwa kilomita 77.

Msaada huo umewafikiwa kwa kiasi cha dola za Kimarekani $57,200,000 ikiwamo $11,084,108 za gharama za mradi maalum ulioghairishwa mwaka 1976 wa mitambo ya sukari ya Kagera.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©