Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Utafiti wa magonjwa ya Binadamu

30/10/2009

Makamu wa Rais wa Tanzania Dk. Ali Mohamed Shein, akiangalia utafiti wa magonjwa ya Binadamu kwa kutumia darubini wakati alipotembelea kwenye Ofisi za taasisi ya Taifa ya Utafiti wa magonjwa ya Binadamu (NIMR) zilizopo katika mtaa wa Luthuli jijini Dar es Salaam hivi karibuni. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, Blandina Nyoni.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©