Jiji la Dar es Salaam
lazindua jeshi la sheria za jiji kwa Wakazi
03/11/2009

Kikosi maalumu cha Jeshi
la jiji la Dar es Salaam kikifanya gwaride la uzinduzi mchana huu na
linaanza kazi mara moja. Hivyo wanaokojoa ovyo, ama kutupa taka
barabarani na kufanya biashara kiholela watakabiliwa na faini ya hapo
hapo ya shilingi 50,000/- ukishindwa unapelekwa kwa Pilato halafu
Lupango. Hii ni moja ya kuendeleza jiji kuwa kivutio kwa wafanyabiashara,
wawekezaji, watalii na kwa wakazi wenyewe wa jiji la Dar es Salaam.

|