Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rais Karume akutana na Maalim Seif

06/11/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mh. Amani Abeid Karume, akimlaki Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Shariff Hamad alipowasili Ikulu ya Visiwani katika ziara ya kihistoria kwani toka Mh. Karume, Maalim hajawahi fika Ikulu kwa mazungumzo rasmi isipokuwa katika dhifa za kitaifa na sherehe zingine. Kulia ni Mh. Ismail Jussa, Mkurugenzi wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa kimataifa wa CUF. Picha na Ramadhani Othman Ikulu/Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©