Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

KOMBE la Barclays Premier League limetua Tanzania

07/11/2009

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Kanali Mstaafu, Iddi Kipingu (kushoto) na Mmoja wa Walinzi wa Kombe la Ligi Kuu ya Uingereza, Keith Russel wakiwa wameshikilia kombe hilo baada ya kuwasili Uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dar es Salaam kwa ziara maalum ya kuhamasisha michezo nchini.

Mwenyekiti wa Baraza la Michezo la Taifa (BMT), Idd Kipingu (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Barclays Tanzania, Rished Bade, wakilinyanyua juu Kombe la Ligi Kuu ya Uingereza la Barclays Premier League lilipotembelea Tanzania, pichani likiwa katika mkutano na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©