Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Pongezi kwa Rais Karume na Maalim Seif

10/11/2009

Jumuiya ya Wazanzibari waishio Uingereza (ZAWA-UK) inawapongeza Rais wa Zanzibar Mheshimiwa Amani Abeid Karume na Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Shariff Hamad kwa kukutana na kuazimia kuwaunganisha Wazanzibari ili kuhakikisha kuwa Visiwa vya Zanzibar vinakuwa na amani, mshikamano na kufungua milango zaidi ya maendeleo. Hatua hii waliyoichukua tunaamini itafungua ukarasa mpya katika siasa za Zanzibar.
 

Ahsante,
 

Abdulla A. Abdulla
Mwenyekiti, ZAWA, UK

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©