Eddy Raza aonesha usanii
wake London
11/11/2009

Mwenyekiti wa Zenjydar Community Association bwana Saleh Jaber (kulia)
akiwa katika maonesho ya Arts akimpa tafu Mbongo mwenzake kwenye fani ya
uchoraji bwana Eddy Raza (shoto) ambaye mwakani anachukua nondo kwenye
fani ya uchoraji kwenye chuo kikuu cha uchoraji mjini London. Katikati
ni mgeni wa heshima katika maonesho hayo, bwana Tim Allen wa kutoka chuo
kikuu cha uchoraji mjini London.

Eddy
amenaswa akiwa anachukua picha ya moja ya kazi zake alizozileta katika
maonesho hayo ambayo yalifanywa kwa kushirikiana na wanafunzi wenzake
watatu kutoka chuo kikuu cha uchoraji jijini London.
|