Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mafuriko Morogoro

14/11/2009

Gari la Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Issa Machibya, likipita katika dimbwi kubwa la maji, katika barabara ya kwenda Kitongoji cha Mapangano, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero, ambapo msitu wa hifadhi wa asili wa jumuiya ya Wami – Mbiki ambapo wananchi wamevamia na kuweka makazi ya kudumu, kilimo pamoja na wafugaji kuligeuza eneo la malisho ya mifugo.

Mkuu wa Wilaya ya Kilosa, Halima Dendego ( kushoto) akiwa na Msaidizi wa Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Ahmed Ng’eni, (kulia) wakipita kuangalia maeneo yaliyokumbwa na mafuriko mjini Kilosa baada ya mto Mkondoa kuacha mkondo wake wa maji na kusababisha kusambaa maeneo ya makazi ya wananchi na shule ya msingi ya Mkondoa.

Duka la Dawa muhimu ambalo linafanya kazi ya kutoa huduma kwa wananchi wa kitongoji cha Mapangano, Kata ya Kanga, Wilaya ya Mvomero.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©