Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Vodacom yatoa milioni 25/- Zenj - Mapinduzi Cup

21/11/2009

Mkurugenzi masoko wa Vodacom Tanzania, Ephraim Mafuru (kushoto) akikabidhi mfano wa hundi ya Sh. milioni 25 kwa naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo wa Zanzibar Mh. Ali Juma Shamhuna kwa ajili ya udhamini wao wa kombe la Mapinduzi kwenye sherehe iliyofanyika kwenye hoteli ya Zanzibar ocean view.

Mkurugenzi Masoko wa Vodacom Tanzania Ephraim Mafuru akiongea katika hafla hiyo ya kukabidhi hundi ya Shilingi milioni 25 kwa ajili ya kombe la Mapinduzi.

Naibu waziri kiongozi na waziri wa habari utamaduni na michezo Zanzibar, Mh. Ali Juma Shamhuna akiongea kwenye hafla ya kupokea hundi ya Sh. milioni 25 udhamini wa Vodacom Tanzania kwa kombe la mapinduzi 2010. Hafla ilifanyika kwenye hoteli ya Zanzibar ocean view.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©