Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Bangi yakamatwa Tarime

25/11/2009

Mkoa wa kipolisi wa Tarime/Rorya umefanikiwa kunasa nusu tani ya bangi iliyoandaliwa vyema tayari kuvuka mipaka kuingia Kenya. Kamanda wa mkoa huo wa kipolisi Constantine Massawe alisema walifanikiwa kunasa bangi hiyo baada ya kutonywa na msamaria mwema. Pichani kamanda huyo wa mkoa maalumu wa Kipolisi akionyesha mabunda ya bangi iliyokamatwa wakati akizungumza na waandishi wa habari.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©