Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Ziara ya Kikwete Jamaica

26/11/2009

Rais Jakaya Kikwete na waziri mkuu wa Jamaica Bruce Golding wakisaini makubaliano ya ushirikiano yaliyofikiwa baina ya serikali ya Tanzania na Jamaica katika siku ya mwisho ya ziara ya siku nne ya kiserikali ya Rais Kikwete nchini humo.

Rais Jakaya Kikwete na waziri mkuu wa Jamaica mheshimiwa Bruce Golding wakibadilishana hati baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yaliyofikiwa baina ya serikali ya Tanzania na Jamaica.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©