Juhudi ya hifadhi ya Wazee
Zanzibar
29/11/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akisalimiana na wazee baada ya
kufanya uzinduzi wa Mkakati wa Kitaifa Juu ya Hifadhi ya Wazee mjini
Zanzibar. Hifadhi ya Wazee ni mpango maalum wa kuwaangalia Wazee nchini.
|