Benki ya NMB yafungua tawi
Zanzibar
30/11/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa baraza
la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume akiondoa kipaizia kuashiria
kufunguliwa tawi la Benki ya NMB Zanzibar, mtaa wa Darajani. Kushoto kwa
Rais ni Mtendaji Mkuu wa NMB Benn Christiaanse.

Rais wa Zanzibar, Dk. Amani Abeid Karume
akikata utepe kufungua rasmi tawi la Benki ya NMB Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume akimkabidhi mpira mwanafunzi wa
skuli ya Kajificheni, Yunus Ramadhan, kwa niaba ya wanafunzi wa mkoa wa
mjini katika sherehe za kuzindua tawi la Benki ya NMB.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume akipokea hundi ya 12m/- kama msaada
kwa Jamii ya Zanzibar toka Benki ya NMB.
|