Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Air Tanzania yazindua safari za Arusha

04/12/2009

Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mh. Isidore Shirima (pili shoto) akiwa na Mbunge wa Arusha Mjini Mh. Felix Mrema pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa ATC Thomson Byarushengo (wa pili kulia) na Meneja wa ATC kanda ya kaskazini Josephat Kagirwa (kulia) wakifurahia wakati ndege aina ya Dash-8 yenye uwezo wa kubeba abiria 50 kutua kwa mara ya kwanza katika uwanja wa Arusha.

Dash-8 ya ATC ikiwasili uwanja wa Arusha katika safari yake ya kwanza ya kuzindua tripu za DAR-ARUSHA-ZNZ-DAR zitazokuwa kutwa mara mbili kila siku.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©