Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Raia wa Congo wakamatwa kwa kuishi bila ya kibali

08/12/2009

Raia 10 wa Congo DRC wakisubiri kupandishwa kizimbani katika mahakama ya hakimu mkazi wa Sumbawanga baada ya kukamatwa kwa kosa la kuingia na kuishi nchini bila kibali. Wanane kati yao walipewa adhabu ya kutumikia kifungo cha mwaka mmoja jela baada ya kushindwa kulipa faini ya shilingi 30,000/- ambapo wawili waliolipa faini hiyo walipewa masaa 72 wawe wamekwisha ondoka nchini wenyewe kwa gharama yao.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©