Marcio Maximo ajadiliwe
12/12/2009

Kocha wa Taifa Stars
Marcio Maximo yuko katika lala salama ya mkataba wake na hivi sasa
anaifundisha timu ya bara Kilimanjaro Stars kwenye michuano ya chalenji
ambapo baada ya kutolewa na Rwanda kwenye nusu fainali itapambana na
ndugu zao Zanzibar Stars kuwania nafasi ya tatu. Je, huu ni wakati
Maximo afunge mkwiji aingie uwanjani, au afunge virago arejee Brazil?
|