Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Rwanda yajiunga na jumuia ya madola (Commonwealth)

16/12/2009

Balozi wa Rwanda nchini Tanzania Bi. Fatma Ndangiza akitoa tamko rasmi la Rwanda kujiunga na Jumuiya ya Madola na pia kushukuru mchango wa Tanzania kusaidia kufanikisha zoezi hilo jijini Dar es salaam. Rwanda sasa ni mwanachama wa 54 wa Jumuiya ya Madola (Commonwealth Countries) kufuatia kukubaliwa na wakuu wa nchi wanachama wa Jumuiya ya Madola katika mkutano uliofanyika Trinidad na Tobago.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©