Elimu bila malipo Pemba
19/12/2009

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akizungumza na Walimu, Wananchi na
Wanafunzi katika Sherehe za Elimu bila Malipo zilizofanyika huko viwanja
vya Skuli ya Vikunguni, Wilaya ya Chake chake, Mkoa wa Kusini, Pemba.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akimkaidhi kikombe Mwalimu Khamis
Juma Ali, Skuli bora Kidato cha 2 katika Kilele cha Sherehe za Elimu
bila malipo zilizofanyika huko viwanja vya Skuli ya Vikunguni, wilaya ya
Chake chake, mkoa wa Kusini, Pemba.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza
la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akimkaidhi kikombe Mwalimu Mkuu wa
Skuli ya Hamamni cha Ushindi wa jumla Kidato cha 6, Mshenga Ali Abass,
katika Kilele cha Sherehe za Elimu bila malipo zilizofanyika huko
viwanja vya Skuli ya Vikunguni, wilaya ya Chake chake, mkoa wa Kusini,
Pemba.

Wanafunzi wa Skuli ya Vikunguni, Wilaya ya
Chake chake, mkoa wa Kusini, Pemba wakifuatilia kwa makini harakati za
Sherehe za Elimu bila malipo zilizofanyika huko viwanja vya Skuli hiyo.
|