Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Utafutaji wa kocha mbadala upo njiani

20/12/2009

Zengwe la kumng'oa Marcio Maximo linapikwa na wakati wowote kuanzia sasa kocha huyu wa taifa stars atajikuta kibarua kimeota mbawa. Uchunguzi wa globu ya jamii umebaini kwamba hivi sasa shirikisho la soka TFF lipo njia moja kusaka mbadala wake na mkataba wake kusitishwa kabla ya muda wake. TFF wamepata nguvu baada ya JK ambaye analipa mshahara wa kocha huyu kutoka Brazil kuruka kimanga na kusisitiza yeye hamlindi wala nini na haingilii mambo ya TFF zaidi ya kusaidia kulipa mshahara wake ambao hadi sasa hakuna anayejua ni shi'ngapi.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©