Prince William alala
mitaani kama asiye malazi
23/12/2009

Prince William wa United Kingdom (pichani
kulia) amelala mitaani pamoja na wasio na malazi kuangalia hisia ya vipi
inakuwa kulala mitaani bila ya makazi maalum na katika kipindi hiki cha
baridi kali.
Prince william alijichimbia na kulala
kwenye maboksi kwenye vichochoro vya London, karibu na daraja la
Blackfriars, katika baridi ya -4C (minus four - degree - centigrade).
Prince William alikuwa katika mpango wa kusaidia 'charity' ambazo
zinasaidia watu wanaolala nje ambao hawana makazi maalum.
|