Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Kifimbo cha Malkia (Queen's Baton) chaingia Tanzania

29/12/2009

Rais wa Kamati ya Olimpiki ya Tanzania, bwana Gulam Rashid akionekana amebeba kifimbo cha Malkia (Queen's Baton) kilipowasili katika kiwanja cha ndege cha Dar es Salaam baada ya kutoka Nairobi, Kenya. Kuja kwa kifimbo hicho ni ishara ya Tanzania kama ni moja ya nchi za jumuia ya madola (Commonwealth Countries) na ni ishara kuwa Tanzania inawakilisha michezo ya Commonwealth ambayo hutokea kila baada ya miaka minne. Imeandaliwa michezo ya (Commonwealth Games) kufanyika mwakani 2010 mjini New Delhi, India ambapo Tanzania pia itashariki.

Kushoto ni mwanamichezo maarufu na Katibu wa Kamati ya Olimpiki Tanzania, bwana Filbert Bayi na kulia ni mweka hazina wa kamati hiyo, bwana Charles Nyange. Kifimbo kitakuwa nchini kwa ziara ya muda wa siku mbili.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©