Mpango wa maji wazinduliwa
Zanzibar
06/01/2010

Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akisalimiana
na Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia
Makaazi, Dk. Anna Kajumulo Tibaijuka, alipofika ikulu mjini Zanzibar
kuzindua Mpango wa Mkakati wa Mamlaka ya Maji (ZAWA).
|