Hitma ya Mzee Rashid
Mfaume Kawawa - London
10/01/2010

Hitma ya Mzee Rashid Mfaume Kawawa
ilifanyika Jumamosi ya tarehe 09 Januari 2010 katika msikiti wa St Annes
uliopo London ambapo wahudhuriaji mbalimbali walifika kwa kuguswa na
msiba huo wa Mzee Rashid Mfaume Kawawa aliyefariki dunia mwishoni mwa
mwaka jana. Pichani juu Sheikh akionekana akisoma wasifu wa marehemu.

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London.

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London.

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London akiwemo balozi
wetu wa UK, Hajjat Mwanaidi Maajar (pili kulia).

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London.

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London.

Wahudhuriaji mbalimbali walihudhuria
katika msiba huo katika msikiti wa St Annes, mjini London.
Picha zote na Ayoub Mzee.
|