Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

MADE IN MUSOMA - HUMMER HT7 (JAMVI)

16/01/2010

Gari ya Kiutamaduni iitwayo Hummer HT7, ambayo ina injini ya Suzuki imetengezewa bodi la Jamvi kwa ukindu na kuifanya gari hiyo kuwa ni gari pekee duniani.

Gari ya Hummer HT7 imeundwa Musoma, Tanzania, na mkazi wa Musoma ambaye anaitumia kubebea watu kama Taxi.

Fikra ya utengezaji gari hii ni fikra mojawapo kama fikra ya kiwanda cha BMW ambacho wahandisi wake walitengeneza gari ya BMW kwa kutumia kitambaa.

Huu ni mwanzo wa kukuza na kuendeleza uhandisi na usanii wa aina kama hizi kwa manufaa na uchumi wa baadaye.

Kwa kuchanganya utamaduni na teknolojia, gari hii imeanza kwa gea namba moja na kama inavyosemekana kila safari huanza na hatua moja, huu ni mwanzo wa kuchanganya teknolojia na utamaduni katika masoko ya dunia bila ya kusahau na kuzingatia mambo yote yanayohusiana na "health and safety" kama vile kibiriti kuwa marufuku na sigara vilevile marufuku. Tutafika!

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©