Soko la Kariakoo
18/01/2010

Soko Kuu la Kariakoo
jijini Dar es Salaam, likionekana katika hali ya usafi baada ya Manispaa
ya Ilala kuwaondoa wafanyabiashara waliokuwa wamejenga vibanda
kandokando ya soko hilo kwa kuzingatia afya na usafi wa kimazingira.
|