Rais Karume ahudhuria
mahafali ya Chuo Kikuu cha Zanzibar
19/01/2010

Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akizungumza na
wazee na wanafunzi waliohitimu katika mahafali ya 7 ya Chuo Kikuu cha
Tunguu, ZANZIBAR UNIVERSITY yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho,
Tunguu, Wilaya ya Kati, Mkoa wa Kusini Unguja.

Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akimkabidhi
zawadi mmoja wa miongoni mwa wahitimu waliofanya vizuri, katika masomo
yao (bora) wa Chuo Kikuu cha Tunguu, ZANZIBAR UNIVERSITY, katika
mahafali ya 7 ya chuo hicho yaliyofanyika katika viwanja vya chuo hicho
Tunguu.
|