Vodacom yazindua kampeni
ya kuchangia waathirika wa mafuriko ya Kilosa
24/01/2010

Mkurugenzi Mtendaji wa
Vodacom Tanzania Dietlof Mare (katikati) akizungumza na Waandishi wa
habari leo asubuhi kabla ya uzinduzi wa kampeni ijulikanayo kama
Vodafone Red Alert, inayoendeshwa na kampuni ya Vodacom Tanzania.
Kampeni hiyo inalenga kuwahamasisha wateja wa Vodacom kuwachangia
Watanzania waliopatwa na maafa kwa kutuma neno MAAFA kwenda namba 15599,
kila ujumbe mmoja utatozwa shilingi 250/- alieyakaa kushoto ni
Mkurugenzi wa Idara ya Maafa Ofisi ya Waziri Mkuu Meja Jenerali mstaafu
Bakari Shabani na kulia ni Mkurugenzi wa Uhusiano wa Vodacom Tanzania
Mwamvita Makamba.
|