Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Uhaba wa wese Pemba

27/01/2010

Moja kati ya vituo maarufu vya kutia mafuta ya petroli kilichopo Chake Chake kisiwani Pemba kikiwa kimevamiwa na watu na vipando vyao kwa ajili ya kupata huduma ya kutia petroli na kufanya watu wengi kulaza vyombo vyao. Tatizo hilo la mpito limeikumba Unguja vilevile kwa kutoweka kwa wese kwa takriban wiki moja kufuatia kuharibika kwa meli ya mafuta.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©