Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Karume atembelea utanuzi wa bandari ya Malindi - Zanzibar

28/01/2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume, akiwapongeza mafundi Salum Udi Mwinyi, Mhandisi wa Shirika la Bandari (kulia) na Ali Omar, fundi wa kujitegemea, alikuwa fundi wa kampuni ya Phihi kwa hatua ya ujenzi wa sehemu ya kuwekea makontena katika Bandari ya Malindi, Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume (kushoto) akitoa maelekezo kwa mkurugenzi wa shirika la Bandari Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe wakati alipotembelea bandari ya Malindi, Unguja kuona hatua ya maendeleo ya ujenzi wa kuongezea sehemu ya kuwekea makontena, yanayokuja kutoka nje ya nchi, katika hatua za kuongezeka kwa uchumi wa nchi yetu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Amani Abeid Karume (katikati) alipotembelea maendeleo ya ujenzi sehemu ya kuwekea makontena katika Bandari ya Malindi Unguja, akifuatana na Mkurugenzi wa Shirika la Bandari Mustafa Aboud Jumbe na viongozi wengine.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©