Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Tume ya Ukimwi Pemba yakabidhiwa gari

29/01/2010

Katika Kile kilichoonekana kuwa ni moja wapo ya hatua za kuendeleza mbele mapambano ya vita dhidi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi, Katibu Mkuu Afisi ya Waziri Kiongozi Msham Abdallah Khamis, amekabidhi gari kwa Mratibu wa Tume ya Ukimwi Pemba Nd. Nassor Ali Abdallah kwa ajili ya kufanyia ufuatiliaji na uratibu wa shughuli mbali mbali za ukimwi kisiwani Pemba.

Kushoto ni Mkurugenzi wa Tume ya Ukimwi Zanzibar, Bi Asha Abdallah. Msaada wa gari hilo ni kutoka katika Benki ya Dunia.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©