Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Ziara ya Waziri Mkuu - Mpwapwa

03/02/2010

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akikagua athari za mafuriko yaliyovunja daraja la Gulwe na kukata mawasiliano kati ya Mji wa Mpwawa na eneo la Kusini la WIlaya ya Mpwapwa. Waziri Pinda (kulia pichani) akionekana alipotembelea eneo lililoathirika kwa mafuriko katika wilaya hiyo mwanzoni mwaka huu. Kulia kwake ni Mbunge wa Mpwapwa, George Lubeleje.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©