Machinga na Mgambo jijini
15/02/2010

Mgambo wa jiji na Mfanyabiashara wa mifuko
ya plastiki wakiwa wamekunjana baada ya mfanyabiashara huyo kukutwa
akiendelea na biashara yake katika eneo la Soko la Kariakoo jijini Dar
es Salaam jana ambalo haliruhusiwi kwa wafanyabiashara hao. Picha na
mpiga picha Maalum wa Mwananchi.
|