Madawa ya kulevya
yakamatwa
16/02/2010

Kamanda wa Polisi wa
viwanja vya ndege nchini, Kamishna msaidizi Mwajuma Kiponza(kulia)
akiwaonyesha waandishi wa habari madawa yakulevya yaliyokuwa
yameifadhiwa kwenye vinyago. Madawa hayo yalikamatwa kutoka kwa
mtuhumiwa anayejulikana kwa jina Halid Maunga katika uwanja wa ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere alipokuwa akijiandaa kuyasafirisha
kwenda Uingereza.
|