Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mnara wa msikiti waanguka Morocco

20/02/2010

Wafanyakazi wa huduma za uokoaji katika mji wa Meknes nchini Morocco wamekuwa wakiendelea na utafutaji wa manusura kufuatia kuanguka kwa mnara wakati wa swala ya Ijumaa. Kwa uchache watu thelathini na sita waliuwawa na wengine zaidi ya sabini walijeruhiwa.

Inaarifiwa kuwa watu wengine zaidi wamefukiwa chini ya kifusi cha mnara huo. Baadhi ya waokoaji wamekuwa wakijaribu kuwafikia manusura wakitumia mikono yao kwa sababu mashine kubwa na nzito haziwezi kupita kwenye barabara finyu za mji huo wa kale.

Maafisa walisema siku kadhaa za mvua kali ziliathiri mnara huo uliojengwa karne kadhaa zilizopita katika mji wa kihistoria wa Meknes.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©