Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mkataba wa kutandaza nyaya za umeme Zanzibar

08/05/2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Amani Abeid Karume, Balozi wa Marekani nchini, Alphonso E. Lenhardt, na viongozi wengine walikutana katika kushuhudia utiaji saini mkataba wa kazi za ulazaji waya wa umeme (Marine Cable) kutoka Ras Kiromoni, Dar es Salaam hadi Fumba.

Mtendaji Mkuu wa Millenium Challenge Tanzania, Bernad Mchomvu alikuwa ni muwakilishi wa utiaji wa saini na kukabidhiana mkataba na mwakilishi wa Kampuni ya Viscus ya nchini Japan, bwana Tesuji Onno. Kazi hiyo inatarajiwa kuanza hivi karibuni kwa kuimarisha huduma za umeme Zanzibar.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©