Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Sherehe za uzinduzi wa daraja la Umoja

12/05/2010

JK na Rais Guebuza wa Msumbiji wakisalimia wanachi katika daraja la Umoja linalounganisha TAnzania na Msumbiji kijiji cha Mtambaswala mkoani Mtwara wakati wa uzinduzi wa daraja hilo.

JK na Rais Guebuza wa Msumbiji wakiwa na marais wasataafu Alhaji Ali Hassan Mwinyi na Mh. Benjamin William Mkapa kwenye sherehe hizo za uzinduzi wa Daraja la Umoja.

Sehemu ya daraja la umoja lililopo eneo la Mtambaswala, wilaya mpya ya Nanyumbu, mkoa wa Mtwara.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©