Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Alain Robert (Spiderman) apanda Burj Khalifa, Dubai

16/05/2010

Alain Robert (Spiderman) wa kifaransa ambae ni bingwa wa kupanda minara na majumba marefu bila ya kutumia chombo chochote kwa ajili ya uslama wake, amepanda jengo la Burj Khalifa lilioko Dubai kwa takriban dakika 20 tu, jengo ambalo ndilo refu kuliko majengo yote duniani (kwa hivi sasa) huku umati wa watu ukiwa unashuhudia kitendo hicho.

Mmoja wa waliohudhuria kumuangalia Alain akiparamia jengo la Burj Khalifa, akichukua taswira ya ukumbusho wa kihistoria katika jiji la Dubai.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©