Mount Kilimanjaro

Beit El Ajaib
     

HomeNewsServicesEventsAbout UsContact Us

 
ProfileToolsGamesCommunity

NEWS

 
 

Mwandosya aelezea rasilimali ya mto Nile

17/05/2010

Waziri wa Maji na Umwagiliaji nchini Tanzania, Prof. Mark Mwandosya (pichani) akitoa taarifa kwa waandishi wa habari kuhusu ushirikiano wa nchi za Bonde la Mto Nile, ambapo ameelezea lengo lake ni ukusanyaji wa Takwimu za mizania ya rasilimali za maji katika eneo la nchi za maziwa makuu.

Nchi kumi zinajumuisha BONDE la Mto Nile ni Burundi, Jamhuri ya kidemokrasia ya Kongo, Egypt, Eritrea, Ethiopia, Kenya, Rwanda, Sudan, Tanzania na Uganda.

 

   
 

Custom Search

Go up

 

Quick Links

Watch Television
News Archive

© www.zenjydar.co.uk - Since 2007 | Web master | Site map | www.zenjydar.co.uk - Since 2007 ©