Rais Karume afungua
mkutano wa Baraza la Biashara ZNZ
19/05/2010

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk
Amani Abeid Karume, pia Mwenyekiti wa Baraza la Biashara la Zanzibar,
akifungua mkutano wa 4 wa baraza la biashara hilo (ZBC), unaozungumzia
zaidi biashara katika soko la Afrika Mashariki.
Mkutano huo ulifanyika katika ukumbi wa Salama Hotel,
Bwawani, mjini Zanzibar.
|